
HII INAMUHUSU YEYOTE AMBAE AMEAJIRIWA AU ANA NDUGU,
RAFIKI YAKE AMEAJIRIWA AU ANATAFUTA AJIRA….. Hakikisha unafikisha elimu hii kwa
muhusika
Moja ya tatizo kubwa sana ambalo watu wengi
tunakumbana nalo leo hii ni namna gani tunaweza kuwa MATAJIRI. Na katika watu ambao
wanapata ugumu zaidi katika kuwaza namna gani wanaweza kuwa MATAJIRI ni wale
ambao wameajiriwa. Wengi hujiuliza waache kazi ndo waanze kuutafuta utajiri? Au
wafanyaje?. Basi kama nawe ni mmoja wa wale ambao wanajiuliza hivyo @elimu_ya_utajiri
inakuambia kabla hujaacha kazi jiulize maswali yafuatayo…. Je una pesa ya
kuanzisha biashara? Na kama unazo… una uhakika gani hiyo biashara yako ya
kwanza tu itatiki moja kwa moja? Je utakula nini ukiacha hiyo kazi?. Basi
tukupe siri tu kuwa unaweza kuendelea na kazi yako na BADO UKAWA TAJIRI. Shida
ambayo inawakumba waajiriwa wengi ni kwamba wanatafuta AJIRA wakilenga kupata
pesa ambayo itamaliza matatizo yao yote. Kazi pekee haijawahi kumaliza tatizo
la pesa…. kama unataka kuwa TAJIRI ni lazima ufanye biashara (mjasirimali)
maana biashara pekee ndio ambayo haina ukomo wa mapato… unaweza ukaanza kupata
mia leo mpaka kiasi chochote unachokitaka wewe siku moja kutokana na jitihada na
malengo yako.
Kama unafanya kazi na bado unasumbuliwa na tatizo la
kutokuwa na pesa basi mkombozi wako ni biashara na sio kutafuta kazi nyingine
ya ziada. Kamwe huwezi utafuta UTAJIRI ili hali huna unachokiingiza tumboni…USIACHE
KAZI. Kama unataka kuwa MJASIRIAMALI WA KWELI basi usifanye kazi kwa ajili ya
pesa fanya kazi kwa ajili ya kupata maarifa fulani na uzoefu ambao utakusaidia
baadae katika kuusaka utajiri wako. Fanya kazi muda ambao kazi yako inakutaka
kuwa ofisini ila ukitoka kazini anza kufanya baishara yako ambayo utalenga
kuikuza kila siku na kufikia kupata kipato kikubwa siku moja kuliko kile
ambacho unapata kwenye mshahara wako…. KUACHA AU KUTOACHA KAZI SIKU ZA MBELENI
BAADA YA BIASHARA YAKO KUANZA KUINGIZA PESA NZURI NI JUKUMU LAKO MWENYEWE. Ila
kumbuka tu usifanye kazi sababu ya pesa.
Sawa kabisa hili ni suala LA msingi sana...lakini pia Kuna jambo LA msingi sana LA kulifahamu endapo mtu ataamua kufanya biashara tofauti na kazi aliyoajiriwa, suala lenyewe ni muda ambao hiyo biashara itamuhitaji vinginevyo biashara haitokua na ukuaji na manufaa zaidi
ReplyDeletekweli mkuu... shukrani kwa kuwa nasi kuipa jamii elimu hii adimu
DeleteSAFARI YAKO YA MAFANIKIO UTAJIRI NA RIZIKI ZAKO ZIMESIMAMA NA KUZINASUA UWEZE KUSONGA MBELE SOMA KWA UMAKINI UWEZE KUIJUA SIRI HII.
ReplyDeleteKATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.