elimuyautajiiri.blogspot.com

Monday, July 22, 2019

USIACHE KAZI

                           

HII INAMUHUSU YEYOTE AMBAE AMEAJIRIWA AU ANA NDUGU, RAFIKI YAKE AMEAJIRIWA AU ANATAFUTA AJIRA….. Hakikisha unafikisha elimu hii kwa muhusika

Moja ya tatizo kubwa sana ambalo watu wengi tunakumbana nalo leo hii ni namna gani tunaweza kuwa MATAJIRI. Na katika watu ambao wanapata ugumu zaidi katika kuwaza namna gani wanaweza kuwa MATAJIRI ni wale ambao wameajiriwa. Wengi hujiuliza waache kazi ndo waanze kuutafuta utajiri? Au wafanyaje?. Basi kama nawe ni mmoja wa wale ambao wanajiuliza hivyo @elimu_ya_utajiri inakuambia kabla hujaacha kazi jiulize maswali yafuatayo…. Je una pesa ya kuanzisha biashara? Na kama unazo… una uhakika gani hiyo biashara yako ya kwanza tu itatiki moja kwa moja? Je utakula nini ukiacha hiyo kazi?. Basi tukupe siri tu kuwa unaweza kuendelea na kazi yako na BADO UKAWA TAJIRI. Shida ambayo inawakumba waajiriwa wengi ni kwamba wanatafuta AJIRA wakilenga kupata pesa ambayo itamaliza matatizo yao yote. Kazi pekee haijawahi kumaliza tatizo la pesa…. kama unataka kuwa TAJIRI ni lazima ufanye biashara (mjasirimali) maana biashara pekee ndio ambayo haina ukomo wa mapato… unaweza ukaanza kupata mia leo mpaka kiasi chochote unachokitaka wewe siku moja kutokana na jitihada na malengo yako.

Kama unafanya kazi na bado unasumbuliwa na tatizo la kutokuwa na pesa basi mkombozi wako ni biashara na sio kutafuta kazi nyingine ya ziada. Kamwe huwezi utafuta UTAJIRI ili hali huna unachokiingiza tumboni…USIACHE KAZI. Kama unataka kuwa MJASIRIAMALI WA KWELI basi usifanye kazi kwa ajili ya pesa fanya kazi kwa ajili ya kupata maarifa fulani na uzoefu ambao utakusaidia baadae katika kuusaka utajiri wako. Fanya kazi muda ambao kazi yako inakutaka kuwa ofisini ila ukitoka kazini anza kufanya baishara yako ambayo utalenga kuikuza kila siku na kufikia kupata kipato kikubwa siku moja kuliko kile ambacho unapata kwenye mshahara wako…. KUACHA AU KUTOACHA KAZI SIKU ZA MBELENI BAADA YA BIASHARA YAKO KUANZA KUINGIZA PESA NZURI NI JUKUMU LAKO MWENYEWE. Ila kumbuka tu usifanye kazi sababu ya pesa.


3 comments:

  1. Sawa kabisa hili ni suala LA msingi sana...lakini pia Kuna jambo LA msingi sana LA kulifahamu endapo mtu ataamua kufanya biashara tofauti na kazi aliyoajiriwa, suala lenyewe ni muda ambao hiyo biashara itamuhitaji vinginevyo biashara haitokua na ukuaji na manufaa zaidi

    ReplyDelete
    Replies
    1. kweli mkuu... shukrani kwa kuwa nasi kuipa jamii elimu hii adimu

      Delete
  2. SAFARI YAKO YA MAFANIKIO UTAJIRI NA RIZIKI ZAKO ZIMESIMAMA NA KUZINASUA UWEZE KUSONGA MBELE SOMA KWA UMAKINI UWEZE KUIJUA SIRI HII.

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    ReplyDelete

Face the challenge