MATAJIRI WANAFANYAJE? Unataka kuwa TAJIRI halafu unajiuliza matajiri wanafanyaje? sio kitu kipya kukisikia..siri kubwa ya Matajiri ni kuelekeza nguvu zao zaidi katika rasilimali (assets) ambazo zinawaingizia pesa sio katika vitu vingine ambavyo vinakula pesa (liabilities). Rasilimali kwa mujibu wa @elimu_ya_utajiri ni kitu chochote ambacho kinakuingizia pesa mfukoni mwako na hivyo vitu vingine (liabilities) ndo vitu ambavyo vinatoa pesa mfukoni mwako. Ambao hawautaki UTAJIRI wanakosea wapi? wengi wetu tukipata vijisenti kidogo tutakachokiwaza ni kununua TV nzuri zaidi, kununua king'amuzi kizuri zaidi, kubadilisha ile deki ya zamani, kununua gari au pikipiki na mengine mengi ambayo hayatuingizii pesa zaidi ya kupunguza pesa zilizopo mfukoni .....Yatupasa kubadilika na kuanza kuwaza vitu ambavyo vitatuingizia pesa kupitia hizihizi pesa ndogo tulizozipata.... @elimu_ya_utajiri inakutaka kabla hujaamua kununua kitu unachotaka kununua....Fikiria ishu utakayoifanya ikakuingizia pesa ili hi
No comments:
Post a Comment