elimuyautajiiri.blogspot.com
Monday, March 18, 2019
SOMO LA NNE @elimu_ya_utajiri
KAMA HIYO SIRI ....SASA SIRI NI IPI? Nianze kwa kuangalia watu wanaolipwa pesa nyingi kupitia ajira...mi nafahamu kuna madaktari, mainjinia ,wanajeshi n.k ila pia wengine wowote ambao wamejiajiri na wanatengeneza pesa nyingi kwa mwezi..mnaweza nisaidia kufikiria...Je, hao wote niliowataja hapo juu ni MATAJIRI? wanaweza kuacha wanachokifanya na wakaishi maisha mazuri mpaka wanakufa na vizazi vyao vikaishi vizuri?? Jibu la jumla, kwa wengi wao kama sio wote HAPANA. Unajua kwanini? Watu wengi tunaumizwa na matumizi...yani mtu akiwa anatengeneza pesa nyingi au anapokea mshahara mkubwa atazidisha na matumizi yake kupitia ile hela anayoipata...Mfano, kabla hajaajiriwa au akiwa anaanza kujiajiri atapanga nyumba ambayo kodi yake ni elfu 20 au 30 lakini mwangalie akishaajiriwa au akishaanza kutengeneza pesa kupitia kazi yake aliyojiajiri...atapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Kila mtu ambae anafikia umri wa kutambua dhumuni la pesa, anatamani kuwa nazo. Lakini kutamani tu hakumfanyi mtu kuwa TAJIRI. Bali SHAU...

No comments:
Post a Comment