elimuyautajiiri.blogspot.com

Wednesday, April 24, 2019

SOMO LA THELATHINI NA SITA


MATAJIRI WA KWELI ni wakarimu. Siku za usoni mungu akikujaalia ukawa TAJIRI basi usisahau kauli mbiu yao ya kutoa zaidi ndio kupata zaidi. Ukiwa TAJIRI unachotakiwa kufanya ni kuendelea kujifunza na kutoa kwa wengine. MUNGU atujalie tuwe MATAJIRI WA KWELI SIKU MOJA.
#MwekezajiDarajaLa5
#ItatuhusuSikuMoja
Kaa Tayari kwa somo Jipya
Attachments area

No comments:

Post a Comment

Face the challenge